U W A K A S E M I

Loading

Locate Address
P.o Box 31 Biharamulo, Kagera-Tanzania
Call Us any time
+255 784 604 618

UWAKASEMI ni Umoja wa waliosoma seminari ya Katoke kuanzia mwaka 1964 na umoja huu ulianzishwa mwaka 2021 na kupata usajili rasmi No:BDC/KGR/KIJ.585/WNM/1459 mwaka 2022 kwa mujibu wa sheria

img
Welcome to

UWAKASEMI

Kusaidia waseminari wadogo ambao bado wapo seminarini katika miito yao kwa kuwasaidia na kuwapatia mahitaji muhimu ya kuweza kuongezea miito na malezi bora wawapo seminarini

img
Welcome to

UWAKASEMI

Kuchangia maendeleo ya seminari ya Katoke, kwa njia ya rasilimali, ushauri na kushiriki kwenye miradi ya maendeleo

img
Welcome to

UWAKASEMI

Kuhamasisha vijana kuhusu malezi bora na thamani ya elimu na maadili ya Kanisa Katoliki

img
Welcome to

UWAKASEMI

Kudumisha umoja na mshikamano miongoni mwa waliowahi kusoma Seminari ya Katoke

About Us

Dhamira,Maono na Malengo

“UWAKASEMI ni umoja wa waliosoma seminari ya Katoke kuanzia mwaka 1964 na umoja huu ulianzishwa mwaka 2021 na kupata usajili rasmi No:BDC/KGR/KIJ.585/WNM/1459 mwaka 2022 kwa mujibu wa sheria.

img

DHAMIRA

Kudumisha udugu, urafiki, mshikamano na maadili mema miongoni mwa wahitimu wa seminari ya Katoke, kwa ajili ya kuendeleza jamii, Kanisa Katoliki na Taifa kwa ujumla.

img

MAONO

Kuwa chombo madhubuti cha maadili, mshikamano na maendeleo endelevu kwa waliosoma seminari ya Katoke na jamii wanamoishi.

More About Us
img
Mr Alex Nkaizirwa
Mwenyekiti
img
img
img
img

Madhumuni ya umoja
huu ni

img

Umoja

Kudumisha umoja na mshikamano miongoni mwa waliowahi kusoma seminari ya Katoke.

Contact Us
img

Kusaidiana

Kusaidiana kijamii na kiroho, hasa katika nyakati za shida na furaha (kama misiba, harusi, nk).

Contact Us
img

Kuchangia

Kuchangia maendeleo ya seminari ya Katoke, kwa njia ya rasilimali, ushauri na kushiriki kwenye miradi ya maendeleo.

Contact Us
img

Kuhifadhi

Kuhifadhi na kuendeleza maadili waliyojifunza wakiwa seminari – uadilifu, uchapakazi, heshima na uzalendo.

Contact Us
img

Jukwaa

Kuwa jukwaa la kubadilishana maarifa na fursa za maendeleo baina ya wanaumoja.

Contact Us
img

Malezi bora

Kuhamasisha vijana kuhusu malezi bora na thamani ya elimu na maadili ya Kanisa Katoliki.

Contact Us
img

Miradi

Kuanzisha miradi mbalimbali miongoni mwa wanaumoja ambayo yatasaidia katika kukuza kipato cha wanachama wake.

Contact Us
img

Vikao

Kuwa na vikao vya pamoja kwa utaratibu utakaopangwa na UWAKASEMI walau kila Mwaka kukutana na kuweza kupeana Uzoefu mbalimbali kwa ajili ya ujenzi wa Taifa na Jamii kwa ujumla.

Contact Us
img

Kusaidia waseminari

Kusaidia waseminari wadogo ambao bado wapo seminarini katika miito yao kwa kuwasaidia na kuwapatia mahitaji muhimu ya kuweza kuongezea miito na malezi bora wawapo seminarini.

Contact Us
Malengo ya umoja wa uwakasemi

Malengo ya umoja wa waliosoma
seminari ya Katoke

Soma zaidi

Kudumisha mshikamano na udugu miongoni mwa wanaumoja waliowahi kusoma Seminari ya Katoke, bila kujali daraja, taaluma au eneo walilopo sasa.

Kuhifadhi na kuendeleza maadili ya Kikristo na msingi wa malezi bora waliyojifunza katika Seminari ya Katoke.

Kuchangia maendeleo ya Seminari ya Katoke kwa hali na mali – ikiwa ni pamoja na miundombinu, vifaa vya elimu, na motisha kwa walimu na wanafunzi.

Kusaidiana katika maisha ya kijamii na kiroho, hasa nyakati za shida au furaha kama vile misiba, harusi, Jubilei, ugonjwa, nk.

News and Updates

Insights from latest blog