U W A K A S E M I

Loading

UWAKASEMI ni Umoja wa Waliosoma Seminari ya Katoke kuanzia Mwaka 1964 na Umoja huu ulianzishwa mwaka 2021 na kupata usajili rasmi No:BDC/KGR/KIJ.585/WNM/1459 mwaka 2022 kwa mujibu wa Sheria

About Uwakasemi

Utangulizi

“UWAKASEMI ni umoja wa waliosoma seminari ya Katoke kuanzia mwaka 1964 na umoja huu ulianzishwa mwaka 2021 na kupata usajili rasmi No:BDC/KGR/KIJ.585/WNM/1459 mwaka 2022 kwa mujibu wa sheria.

img
img
img
Mwenyekiti

Mr Alex Nkaizirwa, kuanzia (June 2025- mpaka sasa).

img
Mstaafu

Dr. Audax Kweyamba , (Mwaka 2021- June 2025).

img
Makamu Mwenyekiti:

Mr. Egidius Kahendaguza, (June 2025- mpaka Sasa.

img
Mstaafu

Dr. Gresmus Ssebuyoya, (Mwaka 2021- June 2025).

Kudumisha udugu, urafiki, mshikamano na maadili mema miongoni mwa wahitimu wa seminari ya Katoke, kwa ajili ya kuendeleza jamii, Kanisa katoliki na taifa kwa ujumla.

Kuwa chombo madhubuti cha maadili, mshikamano na maendeleo endelevu kwa waliosoma seminari ya Katoke na jamii wanamoishi.

Dhumuni

Madhumuni ya umoja huu ni

Kudumisha umoja na mshikamano miongoni mwa waliowahi kusoma seminari ya Katoke.

Kusaidiana kijamii na kiroho, hasa katika nyakati za shida na furaha (kama misiba, harusi, nk).